Ratiba ya mazishi Jacob Elinaza yatakayo fanyika Oktoba 24,2016 nyumbani kwao Segerea jijini Dar es Salaam.

1. Mwili wa marehemu utafika saa 11:30 am 
2. Chakula cha mchana kuanzia 12:00pm 
3. Kuaga mwili wa marehemu kuanzia saa 2:30pm 
4. Ibada ya mazishi itaanza kuanzia 4:00pm 
Kila kitu kitakuwa nyumbani kwetu segerea kwa mama 
*Maelekezo* ya kufika

Unashuka kituo  cha Oil com segerea anachukua pikipiki unasema wakupeleke kwa msoji mwanajeshi au kwenye msiba kwa Elinaza 
    
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...