Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Samsung Afrika Mshariki, Nandakishore Nair (kulia) akipiga makofi mara baada ya Rais wa Chama cha Wabunifu Majengo, Henry Mwoleka kukata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa bidhaa hizo uliofanyika katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro Dar es Salaam jana.
Rais wa Chama cha Wabunifu Majengo, Henry Mwoleka na (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Samsung Afrika Mshariki, Nandakishore Nair wa pili (kushoto) wakipata maelezo kutoka kwa Afisa masoko wa Kampuni ya Samsung, Mhandisi, Meshack Odhiambo mara baada ya uzinduzi wa AC mpya za Kampuni ya Samsung iliyofanyika katika Hotel ya Hayatt Kilimanjaro Dar es Salaam jana. 

Kampuni ya Kielektronikia ya Samsung Afrika Mashariki, imezindua kiyoyozi chake kipya chenye vifaa vya 360 Cassette, DVM Chiller, next generation DVM S 30 HP, pamoja na kifaa cha pembeni cha kutolea maji/hewa (VRF unit) – the DVM S Eco 14 HP.

Kwa pamoja, huu ubunifu wa hivi vifaa vipya (360 Cassette, DVM Chiller, next generation DVM S 30 HP, pamoja na kifaa cha pembeni cha kutolea maji/hewa (VRF unit) – the DVM S Eco 14 HP) utabadili hali ya sasa ya viyoyozi hususani kwenye ongezeko la nishati, ufanisi na utendaji, uchukuaji mdogo wa nafasi pamoja na kuongeza kasi ya upatikanaji wa ubaridi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...