Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Josephine Matiro (kushoto)
akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Kishapu, Mhe, Nyabaganga Taraba mara baada ya
kuwasili Kijiji cha Bubiki kabla ya kuanza kwa mbio zake.
Mwenge wa Uhuru ukikimbizwa katika maeneo mbalimbali
mara baada ya kuwasili wilayani Kishapu.
Kikundi cha ngoma cha Makirikiri kikionresha manjonjo
yake katika ufunguzi wa mradi wa stendi kuu ya mabasi na kituo cha polisi eneo
la Mhunze wilayani Kishapu wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...