Mhe. Thabit Kombo, Waziri wa Afya, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Taarifa ya Hali ya Idadi ya Watu Duniani.
Mgeni Rasmi Mhe. Thabit Kombo, Waziri wa Afya, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwaonyesha wananchi kitabu cha Taarifa ya Hali ya Idadi ya Watu Duniani mara baada ya kuizindua.
Mgeni Rasmi Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Afya, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (mwenye kaunda suti ya kijivu) akiwa katika Jukwaa Kuu na viongozi waandamizi kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na viongozi kutoka Shirika la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA). Wengine pamoja nae ni Bw. Barnabas Yisa, Ofisa Mkaazi Mfawidhi UNFPA Tanzania (kushoto) na Mhe. Issa Juma Ally, Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini B (kulia).
Wananchi wa kijiji cha Kilombero, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia kwa makini yaliyokua yakijiri wakati hafla ya uzinduzi wa taarifa hiyo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...