Meneja Mauzo ya Rejareja wa Tekno, Moses Mtweve akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ubora wa simu aina mpya ya Tekno Phatom 6Plus.
 Afisa Masoko wa Tekno, Fred Kadilana akitoa ufafanuazi juu ya simu mpya ya Tekno Phatom 6Plus kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa simu hiyo Mpya. 
Afisa mauzo wa Tekno kulia akitoa maelekezo kwa mteja wakati wa uzinduzi wa simu mpya aina ya Tekno Phatom 6Plus jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...