SIMU.TV: Asasi za kiraia na wadau wa ardhi nchini wameunga mkono mabadiliko ya sera ya ardhi yanayofanywa na serikali ili kuwezesha jamii kunufaika kwa usawa.https://youtu.be/sFGXYY8TfEI

SIMU.TV: Serikali imeombwa kufanyia marekebisho ya sheria ya ndoa na ya ardhi ili kuhakikisha inaondoa vikwazo vinavyomnyima wanawake haki ya kumiliki ardhi.https://youtu.be/SwraQC9WP2Y

SIMU.TV: Waumini wa dini ya kiislamu madhehebu ya Shia wamefanya matembezi ya hisani jijini Dar es salaam kwa ajili ya kumbukumbu ya kifo cha mjukuu wa mtume.https://youtu.be/M_Bu5j73RDw

SIMU.TV: Jamii imekumbushwa kuvisaidia vituo vya kulelea watoto wenye ulemavu wa ngozi ili kuwatatulia changamoto zinazowakabili. https://youtu.be/DU29CZaA4mE

SIMU.TV: Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa PSPF umewataka wananchi kuchangamkia fursa zinazotolewa na mfuko huo ili kuweza kujikwamua kiuchumi. https://youtu.be/INxsk6FhZ5k

SIMU.TV: Serikali imesema inaendelea kuhakikisha watanzania wanapata uzoefu wa kufanya kazi za kuendesha mitambo ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia.https://youtu.be/6Xa1yqFzPEU

SIMU.TV: Kampuni ya simu ya Vodacom imemkabidhi zawadi ya shilingi milioni 20 mshindi wa wiki wa shindano la jiongeze na M Pawa. https://youtu.be/NkdE7NSTLpw

SIMU.TV: Shirika la taifa la hifadhi ya jamii limesema mipango yake ya sasa ni kuwekeza katika miradi itakayotoa ajira moja kwa moja kwa watanzania. https://youtu.be/Os2k05y57n8

SIMU.TV: Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga imeonesha ubabe mbele ya wapinzani wao klabu ya Mtibwa kwa kuwafunga mabao matatu kwa moja.https://youtu.be/mJtLfLd4GLw

SIMU.TV: Jumla ya vikundi sita vya utamaduni kutoka nchini India vinatarajiwa kushiriki katika tamasha la utamaduni litakalofanyika nchini . https://youtu.be/ThzBK_8ngRU

SIMU.TV: Uongozi wa klabu ya Gofu ya Lugalo umewaaga wachezaji wa klabu hiyo wanaoenda kushiriki mashindano ya Arusha Open yatakayofanyika mkoani Arusha.https://youtu.be/pflhve2Jltk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...