SIMU.TV: Jeshi la polisi jijini Dar es Salaam limewakamata vijana wadogo kumi na tano wa kundi la panya road katika eneo la Temeke. https://youtu.be/ZM69VE_qVJM

SIMU.TV: Kaimu mkuu wa mkoa wa Geita Herman Kapufi ameagiza kuondolewa kwa askari polisi wasio waaminifu katika kituo cha polisi cha Nyarugusu. https://youtu.be/n2WTbpw-mGI

SIMU.TV: Japokua asilimia kubwa ya uzalishaji wa mazao ya vyakula na biashara kwenye kilimo hufanywa na wanawake  bado kundi hilo halijapewa haki ya kumiliki ardhi sawa na wanaume. https://youtu.be/2ieYhc3Se1c

SIMU.TV: Shehena ya magogo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 17 yaliyovunwa kinyume na utaratibu yamekamatwa na yanashikiliwa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Rufiji. https://youtu.be/240JZplKMaU

SIMU.TV: Asilimia 30 ya tembo barani Afrika hupungua kila mwaka kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ujangili kwa wanyama pori. https://youtu.be/zWRgsC3MABg

SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoa wa Kigoma limefanikiwa kumuua mtuhumiwa wa ujambazi anayedaiwa kuhusika na matukio kadhaa ya ujambazi katika wilaya za mkoa wa Kigoma.https://youtu.be/opXHv_5dqRE

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa kiwanda cha kukamua mafuta ya Karanga kilichopo wilayani Nachingwea kupeleka nyaraka zinazoonesha kuuziwa kiwanda hicho na serikali kipindi cha ubinafsishaji. https://youtu.be/rit_FgoSx_o

SIMU.TV: Kampuni ya uwekezaji ya TCCIA imejipanga kuiunga mkono serikali kwa kuwekeza katika sekta ya viwanda. https://youtu.be/Oa2YNQo_PfI

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Ilala Sofia Mjema ameuagiza uongozi wa soko la samaki Ferry kuongeza idadi ya matundu ya vyoo katika soko hilo. https://youtu.be/Zhb0phD6Q8E

SIMU.TV: Ligi kuu Tanzania bara inatarajiawa kuendela tena kesho wakati timu mbalimbali zinatarajiwa kuingia uwanjani. https://youtu.be/v39Tk_ADB14

SIMU.TV: Serikali wilayani Rorya mkoani Mara imesema itahakikisha inaendeleza vipaji kwa vijana wanaopatikani kupitia ligi mbalimbali. https://youtu.be/x-xqYAX5AdU

SIMU.TV: Kampuni ya urushaji wa matangazo kwa njia ya digitali ya Multichoice inayomiliki ving’amuzi vya DSTV imetangaza punguzo la bei kwa vifurushi vyake.https://youtu.be/_hfUzjWoV60

SIMU.TV: Kampuni ya Vodacom Tanzania imemtangaza Bi Paulina Kulwa kuwa mshindi wa jumla wa shindano la M Pawa linalohamasisha wananchi kujiwekea akiba.https://youtu.be/D9pwGQv0qEk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...