SIMU.TV: Watu wanne wamefariki dunia mkoani Mbeya baada ya gari aina ya Coaster walilokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka. https://youtu.be/KVVqFN41Dbc

SIMU.TV: Watu watatu wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa mkoani Tabora baada ya gari aina ya Noah walilokuwa wakisafiria kupasuka gurudumu na kupinduka.https://youtu.be/XLQAMrmU_9Y

SIMU.TV: Tanzania imependekeza umoja wa mataifa kufanya mageuzi makubwa kwa kulipa bara la Afrika viti viwili vya kudumu na vyenye uwezo wa kura ya turufu.https://youtu.be/k_PSKEhzA48

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amepokea msaada wa mabati kwa ajili ya marekebisho ya hospitali ya wilaya ya Ruangwa. https://youtu.be/h5XcP5CVXEE

SIMU.TV: Baraza la vijana wa chama cha demokrasia na Maendeleo BAVICHA limemuomba waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi kutoa ufafanuzi juu ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu. https://youtu.be/CQXFZ8DC4Iw

SIMU.TV: Waziri wa maliasili na utalii amebadilisha mfumo wa utendeaji wa bodi ya chuo cha utalii cha taifa kampasi ya Dar es salaam ili kuimarisha utendaji katika chuo hicho.https://youtu.be/PvzzNQuQaSo

SIMU.TV: Mkazi mmoja wa Goba jijini Dar es Salaam ametoa shukrani kwa kituo cha Channel ten kwa kumwezesha mtoto wake kuchangiwa msaada wa kuokoa maisha yake baada ya kupata ajali. https://youtu.be/Vms40aqTp-c

SIMU.TV: Wafanyabiashara mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kusajili biashara zao kwa wakala wa usajili na leseni BRELA ili kuongeza thamani ya huduma zao.https://youtu.be/rSY4lcIU4Vo

SIMU.TV: Siku chache baada ya kuanza kwa minada ya zao la korosho mkoani Mtwara wakulima wameonekana kuendelea kunufaika baada ya bei kuongeza kwa mara nyingine.https://youtu.be/0aj7YVoQM64

SIMU.TV: Serikali mkoani Geita imewataka wafanyabiasha wa viwanda na kilimo kutumia fursa zilizopo kukuza biashara zao badala ya kusubiri wageni kuja kuwekeza.https://youtu.be/_vW-ix4Dyzc

SIMU.TV: Bingwa mtetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga leo imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya timu ya Toto Afrka ya jijini Mwanza.https://youtu.be/CJD6jXYI6K0

SIMU.TV: Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF limempiga marufuku kocha Halfan Ngassa kuiongoza na  kuifundisha Toto Afrika kutokana na kutokidhi vigezo vya kuwa kocha.https://youtu.be/5F6PMRYFNfE

SIMU.TV: Kocha mkuu wa Arsenal Arsene Wenger amesema hakuwai kufikiria kumuuza mchezaji wake Theo Walcoti japo msimu uliopita hakufanya vizuri kama msimu huu.https://youtu.be/NdpKOceL3qA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...