SIMU.TV: Watu wanne wamefariki dunia mkoani Mbeya baada ya gari aina ya Coaster walilokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka. https://youtu.be/KVVqFN41Dbc
SIMU.TV: Watu watatu wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa mkoani Tabora baada ya gari aina ya Noah walilokuwa wakisafiria kupasuka gurudumu na kupinduka.https://youtu.be/XLQAMrmU_9Y
SIMU.TV: Tanzania imependekeza umoja wa mataifa kufanya mageuzi makubwa kwa kulipa bara la Afrika viti viwili vya kudumu na vyenye uwezo wa kura ya turufu.https://youtu.be/k_PSKEhzA48
SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amepokea msaada wa mabati kwa ajili ya marekebisho ya hospitali ya wilaya ya Ruangwa. https://youtu.be/h5XcP5CVXEE
SIMU.TV: Baraza la vijana wa chama cha demokrasia na Maendeleo BAVICHA limemuomba waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi kutoa ufafanuzi juu ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu. https://youtu.be/CQXFZ8DC4Iw
SIMU.TV: Waziri wa maliasili na utalii amebadilisha mfumo wa utendeaji wa bodi ya chuo cha utalii cha taifa kampasi ya Dar es salaam ili kuimarisha utendaji katika chuo hicho.https://youtu.be/PvzzNQuQaSo
SIMU.TV: Mkazi mmoja wa Goba jijini Dar es Salaam ametoa shukrani kwa kituo cha Channel ten kwa kumwezesha mtoto wake kuchangiwa msaada wa kuokoa maisha yake baada ya kupata ajali. https://youtu.be/Vms40aqTp-c
SIMU.TV: Wafanyabiashara mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kusajili biashara zao kwa wakala wa usajili na leseni BRELA ili kuongeza thamani ya huduma zao.https://youtu.be/rSY4lcIU4Vo
SIMU.TV: Siku chache baada ya kuanza kwa minada ya zao la korosho mkoani Mtwara wakulima wameonekana kuendelea kunufaika baada ya bei kuongeza kwa mara nyingine.https://youtu.be/0aj7YVoQM64
SIMU.TV: Serikali mkoani Geita imewataka wafanyabiasha wa viwanda na kilimo kutumia fursa zilizopo kukuza biashara zao badala ya kusubiri wageni kuja kuwekeza.https://youtu.be/_vW-ix4Dyzc
SIMU.TV: Bingwa mtetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga leo imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya timu ya Toto Afrka ya jijini Mwanza.https://youtu.be/CJD6jXYI6K0
SIMU.TV: Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF limempiga marufuku kocha Halfan Ngassa kuiongoza na kuifundisha Toto Afrika kutokana na kutokidhi vigezo vya kuwa kocha.https://youtu.be/5F6PMRYFNfE
SIMU.TV: Kocha mkuu wa Arsenal Arsene Wenger amesema hakuwai kufikiria kumuuza mchezaji wake Theo Walcoti japo msimu uliopita hakufanya vizuri kama msimu huu.https://youtu.be/NdpKOceL3qA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...