Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Daniel Fred Kidega katikati  akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali katika mkutano wa kuzungumzia maswala ya Bunge katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.Wamwanzo ni Mbunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania Makongoro Nyerere na wamwisho ni Mbunge wa Afrika Mashariki kutoka Rwanda Patricia Hajabakiga.
 Mwandishi mwandamizi Salim Said Salim akiuliza maswali katika Mkutano wa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Daniel Fred Kidega kuzungumzia maswala ya Bunge katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi mbweni Zanzibar.
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Makongoro Nyerere akifanya mahojiano na Mwandishi wa Radio Dochwelle Salma Said katika Mkutano wa Spika wa Bungue la Afrika Mashariki Daniel Fred Kidega kuzungumzia maswala ya Bunge katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi mbweni Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...