Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (watatu kushoto), akiwa na Mkuu
wa Jeshi la Anga la Zimbabwe luteni Jenerali (Air Martial) Penance Shiri
(wapili kushoto), alipotembelea Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam leo tarehe
12 Octoba 2016.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia) akiwa na Mkuu wa Jeshi la
Anga la Zimbabwe luteni Jenerali (Air Martial) Penance Shiri, alipotembelea
Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Octoba 2016,
wakati wa ziara ya kikazi nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...