TANZANIA COMMUNITY ORGANIZATION
OF NORTHEN CALIFORNIA (TCO)
912 Bayview Ave, Oakland, CA 94610
510.290.9708, 510.472.7672
Ndugu Watanzania na marafiki wa Northern California.
Mwaka huu tutakuwa na fundraising nyingine ambayo it aambatana na kusheherekea kumb ukumbu ya sherehe zetu za uhur u hapo Dec 10 2016. Fundraising ya mwaka huu itaku wa ni kusaidia vifaa/kifaa kw a zahanati (clinic) mojawapo k utoka kijiji kimojawapo Tanzania.
Lakini kabla ya yote ni vizuri tuwape taarifa kwa ufupi juu ya juhudi zenu mlizofanya mwak a jana za kuwezesha kuchangia msaada wa ndugu zetu wenye ule mavu wa ngozi (albino).
Shughu li ilifanyika Dec 19 2015 katika mji wa Oakland - California. Katika mapato yali yopatiakana basi Umoja wetu ( TCO) uliweza kusaidia shule ya msingi ya Buhangija ambayo ni shule ya albinos inayosaidia kuwasomomesha watoto hawa katika mazingira ya amani baada ya matukio ya kukatwa v iungo kuwa mengi miaka michach e iliyopita.
TCO (Tanzania Community Organization) kupitia michango yenu iliweza kusaidia kiasi cha milioni 6, tisini na saba elfu (tsh 6,097,000).
Kiasi hi ki kilitumwa kupitia kwenye se rikali ya wilaya kwa kushiriki ana na uongozi wa shule ili ku hakikisha msaada uliwafikia wa lengwa.Matumizi yake yalikuwa kama if uatavyo. Wanafunzi waliweza ku saidiwa :
1.Mashuka 200 kwa gharama ya t sh milioni mbili (2,000,000 ts h)
2. Kofia kubwa (kwa ajili ya j ua) na tshirts 200 kwa gharama ya milioni moja na laki sita (1,600,000 tsh)
3. Vyandarua 100 kwa gharama y a laki nane (800,000 tsh)
4.Sweta 200 kwa gharama ya mil ioni moja laki sita na tisini na saba (1,697,000 tsh)
Tunaomba wadau wote na watanza nia kwa ujumla kwenye jumuiya yetu tuendelee kuwa mstari wa mbele katika kusaidia misaada mbalimbali katika jamii mbalim bali zenye mahitaji huko Tanzania.
TCO itaendelea kuwa mstari wa mbele kila mwaka kuendeleza zo ezi hili. Kwa pamoja tutainuan a.
Karibu na changia kwa bidii ta rehe 10 Dec 2016 Oakland- California kwenye hii.
Tembelea website yetu
Erick Byorwango
(Mwenyekiti- Uhusiano na Uenezi TCO)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...