Mkurugenzi
wa Idara ya Habari, MAELEZO Bw. Hassan Abbas akizungumza na waandishi
wa habari (hawapo pichani) kuhusu taasisi za Serikali kutekeleza agizo
la kuhuisha taarifa na huduma katika Tovuti zao mapema kabla ya mwisho
wa mwezi huu katika mkutano uliofanyika Ofisi za Wakala ya Serikali
Mtandao (EGA) jana Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Habari, Elimu
na Mawasiliano wa Wakala ya Serikali Mtandao Bibi. Susan Mshakangoto.
Meneja
wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Wakala ya Serikali Mtandao Bibi.
Susan Mshakangoto akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa
mkutano na waandishi hao leo jijini Dar es Salaam, kuhusu taasisi za
umma kuhuisha taarifa katika Tovuti zao. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara
ya Habari, MAELEZO Bw. Hassan Abbas.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari, MAELEZO Bw. Hassan Abbas akiwaonyesha waandishi wa habari mwongozo wa utengenezaji wa Tovuti za Serikali wakati wa mkutano wake na waandishi hao leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Wakala ya Serikali Mtandao Bibi. Susan Mshakangoto.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari, MAELEZO Bw. Hassan Abbas akiwaonyesha waandishi wa habari mwongozo wa utengenezaji wa Tovuti za Serikali wakati wa mkutano wake na waandishi hao leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Wakala ya Serikali Mtandao Bibi. Susan Mshakangoto.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...