Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ally Hassan Mwinyi akiwasha mshumaa kuashiria ufunguzi rasmi wa Tamasha la Utamaduni la India liitwalo Namastee Tanzania (Habari Tanzania) lililofanyika Oktoba 14,2016 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya vikundi vya Utaamduni wa kihindi vikitumbuiza katika uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni la India liitwalo Namastee Tanzania (Habari Tanzania) lililofanyika Oktoba 14,2016 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ally Hassan Mwinyi (kulia)akimsikiliza Balozi wa India nchini Mhe. Sandeep Arya (katikati) wakati wa onesho la uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni la India liitwalo Namastee Tanzania (Habari Tanzania) lililofanyika Oktoba 14,2016 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam kulia ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye.
Wageni waalikwa wakifatila burudani mbalimbali wakati wa onesho la Tamasha la Utamaduni la India liitwalo Namastee Tanzania (Habari Tanzania) lililofanyika Oktoba 14,2016 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WHUSM.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...