Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo (kulia) akimkabidhi nakala za jarida la utekelzaji wa shughuli za baraza la wafanyakazi Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) , Dk Adolf Rutayuga kwenye hafla ya uzinduzi wa baraza hilo la kwanza la wafanyakazi wa NACTE jijini Dar es Salaam leo Oktoba 4, 2016. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya NACTE, Mhandisi, Stephen Mlote.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo (kulia) akizindua baraza la kwanza la wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) jijini Dar es Salaam jana. na kushoto ni Mwenyekiti nwa Bodi ya NACTE, Mhandisi Stephen Mlote.
Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) wakimsikiliza kwa makini Naibu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo ambaye alizindua bara za kwanza la wafanyakazi wa NACTE jijini Dar es Salaam leo Oktoba 4, 2016.
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ina dhamana kubwa ya hatma ya Elimu ya Ufundi nchini Tanzania, jambo linafanya elimu ya Ufundi kuwa ya umuhimu hususan katika kipindi hiki ambacho agenda kuu ya Taifa ni kujenga Uchumi wa Viwanda kwakujenga elimu ya ufundi imara.
Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Elimu Sayansi na Teknlolojia, Dk Leonard Akwilapo wakati akizindua baraza la wafanyakazi wa NACTE jijini Dar es Salaam leo Oktoba 4,2014.
Dk Akwilapo alisema kuwa agenda hiyo inabidi ichukuliwe na Baraza hili kama kigezo cha kupima utendaji wa kazi wa NACTE.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...