Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim Mruma (aliyeshika panga) akitoa ufafanuzi juu ya uvumi kuwepo volcano leo katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi ndio limeungua moto na kusadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikuwa huo moto kawaida. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua ndio lilisadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikua ni moto wa kawaida.
Wananchi wakiwa katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim Mruma badala yake amesema huo ulikuwa ni moto wa kawaida. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua ndio lilisadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikuwa ni moto wa kawaida.
Baadhi ya viongozi wakiwasili eneo katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jiolojia badala yake huo ulikuwa ni moto wa kawaida. Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Bukoba
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...