Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Hamisi Kigwangwalla akiongea na wajumbe pamoja na watumishi wa hospitali ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro  wakati wa  uzinduzi wa bodi ya hospitali hiyo inayotoa huduma ya kifua kikuu sugu
 Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Hamisi Kigwangwalla akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa  bodi ya hospital ya Wilaya ya Siha inayotoa huduma ya kifua kikiu sugu

Baadhi ya wajumbe wa bodi hiyo mpya(wanne mbele) wakimsikiliza mgeni rasmi,wa kwanza  kushoto ni Dkt.Sayoki Mfinganga,Dkt.Said Egwaga(Mwenyekiti wa bodi),Dkt.Janeth Mghamba na Justice Mkita ambaye bi mwakilishi toka jamii inayotumia huduma za hospitali hiyo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...