Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (katikati) akimuonesha namba ya simu Afisa mwandamizi wa  Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini,Bakari Maggid (kushoto)ili aihakiki ambapo Bw. Venansi Deo, Mkazi wa Kahama aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 100/- kupitia droo kubwa ya  promosheni ya ”kamata mpunga” inayowawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100.Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno “GO”kwenda namba 15544.Aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neno”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali.Kulia ni Meneja Msimamizi wa masuala ya Usalama wa kampuni hiyo, James Wawenje.
  Afisa mwandamizi wa  Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini,Bakari Maggid(kushoto) na  Meneja Msimamizi wa masuala ya Usalama wa Vodacom Tanzania, James Wawenje wakimshuhudia Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)baada ya kumtangaza Bw. Venansi Deo,Mkazi wa Kahama kuwa mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 100/-kupitia droo kubwa ya “Kamata Mpunga”inayoendeshwa na kampuni hiyo na kuwawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100.Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno“GO”kwenda namba 15544.Aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neno”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...