Vijana wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani, umbali wa kilomita 151 kutoka Dar es salaam, na kilomita 53 kutoka makao makuu ya Wilaya.
Vijana hao ni wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali nchini na nje ya nchi ambao wamejitolea kufnya kazi hiyo nzito bila malipo.
Vijana hao ni wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali nchini na nje ya nchi ambao wamejitolea kufnya kazi hiyo nzito bila malipo.
Vijana hao, ambao wameungana katika grupu la Whatsapp la WAZALENDO, leo wamekutwa wakifanya kazi hiyo nzito huku wakihamasika kwa nyimbo wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga (wa pili kulia).
Vijana hao, 14 wakiwa wanawake na 39 wanaume, walikubaliana kupiga kambi shuleni hapo toka Septemba 27, 2016 na kufanya kazi hiyo ya kujitolea na bila malipo kwa moyo mmoja na kufanikiwa kufyatua matofali hayo. Kambi hiyo inatarajiwa kufungwa kesho Jumamosi Oktoba 29, 2016 na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce Ndalichako.
Vijana hao, 14 wakiwa wanawake na 39 wanaume, walikubaliana kupiga kambi shuleni hapo toka Septemba 27, 2016 na kufanya kazi hiyo ya kujitolea na bila malipo kwa moyo mmoja na kufanikiwa kufyatua matofali hayo. Kambi hiyo inatarajiwa kufungwa kesho Jumamosi Oktoba 29, 2016 na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce Ndalichako.
Sehemu ya vijana hao wasomi 53 wakichota maji ili kukamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
Vijana hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
Vijana hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani.
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga akipungia pamoja na vijana hao wasomi 53 baada ya kukamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani.
I'm proud of you all, ninyi ni wazalendo wa kweli.
ReplyDeleteBadala ya kukaa na kusubiria pres. Magufuli ataifanyia nini Tanzania, nyie mlijiuliza mtaifanyia nini nchi yetu. Magroup mengine ya whatsapp igeni mfano huu na kuwa productive badala kupiga siasa maandazi na kulaumu serikali kwa kila kitu. Bravoo
Safi sana bwana michuzi. Hiyo shule niliitembelea mara 2 kati ya 2004 na 2006 kwaajili ya utafiti wa ELIMU NA MAZINGIRA kwa mtoto wa kike. Hali ya shule hiyo ilikuwa mbaya sana na walimu hawakuwa na nyumba. Wazalendo hawa ni Nyerere type. I big up them.
ReplyDelete