Mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya maskini katika shehia ya Ndagoni kisiwani Pemba akitoa maelezo kwa baadhi ya wadau wa maendeleo waliotembelea eneo hilo kuona utekelezaji wa shughuli za Mpango.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga (aliyeshika kitabu) akiwa na baadhi ya wadau wa maendeleo wakipata maelezo kutoka Kwa Mratibu wa shughuli za TASAF huko Zanzibar juu ya upandaji wa mikoko ikiwa ni hifadhi ya mazingira na ujenzi wa kinga maji katika shehia ya Ndagoni uliofanywa na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia utaratibu wa ajira ya muda.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...