Mshindi wa jiongeze na M-Pawa mkazi wa Buza  temeke mkoa wa Dar es Salaam, Astride Mtewele(kushoto) akipokea fedha taslimu shilingi Milioni 20/- kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu (kulia)Anayeshuhudia katikati Mkuu wa Mauzo na Usambazaji kanda ya Dar es Salaam,Domician Mkama, wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini leo.
 Mshindi wa jiongeze na M-Pawa mkazi wa Buza  temeke mkoa wa Dar es Salaam, Astride Mtewele(kushoto)akionekana kutokuamini kama atakabidhiwa kitita chake cha shilingi Milioni 20/-alizojishindia kupitia promosheni hiyo kabla ya kukabidhiwa rasmi kitita hicho leo,Wengine katika picha ni wafanyakazi wa Vodacom Tanzania.
 Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(kulia) na  Mkuu wa Mauzo na Usambazaji kanda ya Dar es Salaam wa kampuni hiyo,Domician Mkama wakimshuhudia Mshindi wa jiongeze na M-Pawa ambaye ni mkazi wa Buza jijini  Dar es Salaam, Astride Mtewele(kushoto)jinsi asivyoamini kama kajishindia kitita cha shilingi Milioni 20/- kupitia promosheni hiyo baada ya kukabidhiwa rasmi leo jijini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...