Mshindi wa jiongeze na M-Pawa mkazi wa Buza temeke mkoa wa Dar es Salaam, Astride
Mtewele(kushoto) akipokea fedha taslimu shilingi Milioni 20/- kutoka kwa Mkuu
wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu (kulia)Anayeshuhudia
katikati Mkuu wa Mauzo na Usambazaji kanda ya Dar es Salaam,Domician Mkama,
wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini leo.
Mshindi wa jiongeze na M-Pawa mkazi wa
Buza temeke mkoa wa Dar es Salaam,
Astride Mtewele(kushoto)akionekana kutokuamini kama atakabidhiwa kitita chake
cha shilingi Milioni 20/-alizojishindia kupitia promosheni hiyo kabla ya
kukabidhiwa rasmi kitita hicho leo,Wengine katika picha ni wafanyakazi wa
Vodacom Tanzania.
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom
Tanzania,Jacquiline Materu(kulia) na
Mkuu wa Mauzo na Usambazaji kanda ya Dar es Salaam wa kampuni
hiyo,Domician Mkama wakimshuhudia Mshindi wa jiongeze na M-Pawa ambaye ni mkazi
wa Buza jijini Dar es Salaam, Astride
Mtewele(kushoto)jinsi asivyoamini kama kajishindia kitita cha shilingi Milioni
20/- kupitia promosheni hiyo baada ya kukabidhiwa rasmi leo jijini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...