Keki ya Kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa wateja ya benki ya CRDB tawi la Water Front.
Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo akikata keki kwa niaba ya wateja wa tawi la Benki ya CRDB tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Water Front jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Donath Shirima akimlisha keki Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...