Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba akizungumza na Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini,mapema leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,mara baada ya kufungua mkutano wa pili wa Upatikanaji na usambazaji wa mbolea kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika,leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,Mkutano huo umehudhuriwa na washiriki zaidi ya 200 kotoka nchi mbalimbali Duniani,wakiwemo Wakuu wa Mashirika na Makampuni makubwa yanayozalisha Mbolea Duniani. 
Wadau wa mkutano wa "Africa Fertilizer Agriculture 2016" wakimsikiliza Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba alipokuwa akiwafafanulia changamoto mbalimbali zilizopo nchini Tanzania katika suala zima la upatikanaji na usambaji wa mbolea kwa wakulima wakubwa na Wadogo,mara baada ya kufungua mkutano wa pili wa Upatikanaji na usambazaji wa mbolea kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika,leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,Mkutano huo umehudhuriwa na washiriki zaidi ya 200 kotoka nchi mbalimbali Duniani,wakiwemo Wakuu wa Mashirika na Makampuni makubwa yanayozalisha Mbolea Duniani.PICHA NA MICHUZI JR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...