Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba akizungumza na Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini,mapema leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,mara baada ya kufungua mkutano wa pili wa Upatikanaji na usambazaji wa mbolea kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika,leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,Mkutano huo umehudhuriwa na washiriki zaidi ya 200 kotoka nchi mbalimbali Duniani,wakiwemo Wakuu wa Mashirika na Makampuni makubwa yanayozalisha Mbolea Duniani.
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba akizungumza na Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini,mapema leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,mara baada ya kufungua mkutano wa pili wa Upatikanaji na usambazaji wa mbolea kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika,leo katika hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar,Mkutano huo umehudhuriwa na washiriki zaidi ya 200 kotoka nchi mbalimbali Duniani,wakiwemo Wakuu wa Mashirika na Makampuni makubwa yanayozalisha Mbolea Duniani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...