Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu sera, bunge, kazi, ajira na wenye ulemavu Jenista Mhagama, akivishwa skafu na vijana wa skauti wa Mkoa wa Simiyu kabla ya kupokea maandamano ya amani ya vijana katika Uzinduzi wa Wiki ya Vijana,  Uwanja wa Sabasaba Mjni Bariadi.
 Baadhi ya Vijana wa Mkoa wa Simiyu wakionesha mabango yenye jumbe mbalimbali kwa Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu sera, bunge, kazi, ajira na wenye ulemavu Jenista Mhagama ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Wiki ya Vijana Mjini Bariadi.
 Kikundi cha Brass Band cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mgulani Dar es Salaam wakiwaongoza vijana katika maandamano ya amani kuelekea uwanja wa Sabasaba Mjini Bariadi ambapo wiki ya vijana imezinduliwa rasmi leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...