Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) Paskas  Mulagili baada ya kuwasili kwenye nyumba za CDA za Kikuyu mjini Dodoma kukagua ukarabati wa nyumba hizo, Oktoba 1, 2016. Katikati ni Wziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Jenista Mhagama.
  Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akikagua ukarabati wa nyumba za  Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) Paskas  Mulagili baada ya kuwasili kwenye nyumba za CDA za Kikuyu mjini Dodoma Pamoja naye  ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Jenista Mhagama.
  Nyumba za Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)  za Kikuyu zinazokarabatiwa  ili zitumiwe na maofisa wa serikali  watakaohamia Dodoma
 Nyumba za Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)  za Kikuyu zinazokarabatiwa  ili zitumiwe na maofisa wa serikali  watakaohamia Dodoma. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...