Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) Paskas Mulagili baada ya kuwasili kwenye nyumba za CDA za Kikuyu mjini Dodoma kukagua ukarabati wa nyumba hizo, Oktoba 1, 2016. Katikati ni Wziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Jenista Mhagama.
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akikagua ukarabati wa nyumba za Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) Paskas Mulagili baada ya kuwasili kwenye nyumba za CDA za Kikuyu mjini Dodoma Pamoja naye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Jenista Mhagama.
Nyumba za Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) za Kikuyu zinazokarabatiwa ili zitumiwe na maofisa wa serikali watakaohamia Dodoma
Nyumba za Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) za Kikuyu zinazokarabatiwa ili zitumiwe na maofisa wa serikali watakaohamia Dodoma. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...