Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na
Mkewe Mary Majaliwa wakiangalia kiwanda cha ILULU kilichokuwa
kinatengeneza mafuta ambacho muekezaji amekifanya kuwa Ghala
nakukitelekeza na watu kuiba vifaa na kufanya uharibifu mkubwa Kiwanda
hicho kipo wilaya ya Rungwe Mkoani Lindi Waziri Mkuu yupo katika ziara
ya kikazi katika wilaya ya Nachingwea na Rungwe Mkoani Lindi(Picha na
Chris Mfinanga)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akiangalia baadhi ya magari yalivyo haribika ambayo yalikuwa
yanamilikiwa nakiwanda cha kukamua ufuta ILULU kiwanda hicho kipo
wilani Nachingwea Mkoani lindi ambapo mwekezaji aliye kichukua amebadili
matumizi na kukifanya Ghala lakuhifadhia bidhaa kushoto kwa waziri mkuu
ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfrey Zambi picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...