Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa Msaidizi wa Mtendaji
Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Marehemu Margareth Lwekama katika ibada
ya kumuombea marehemu iyoyofanyia kwenye Kanisa la Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili jijini Dar es salaam Oktoba 24, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu).
Home
HABARI
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MSAIDIZI WA MTENDAJI MKUU WA OFISI YA WAZIRI MKUU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...