Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (katikati) kwa kushirikiana na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Metairon (kulia) wakikata utepe wakati wa ufunguzi wa kuzindua maonesho ya sekta ya Fedha, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani city,  jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango akizungumza katika ufunguzi wa maonyesho ya sekta ya Fedha, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani city,  jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akizungumza katika ufunguzi wa maonyesho ya sekta ya Fedha, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani city,  jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...