Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na baadhi ya washiriki wa Shindano ya Miss Tanzania 2016 walipokutana kuzungumza kuhusu masuala ya urembo nchini na baadae kushiriki katika zoezi la upandaji miti Mjini Dodoma.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na washiriki wa wa Shindano ya Miss Tanzania 2016 na wadau wa Mashindano ya urembo nchini walipokutana kuzungumza kuhusu masuala ya urembo nchini na baadae kushiriki katika zoezi la upandaji miti Mjini Dodoma.

  Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akishiriki kupanda  miti wakati alipokutana na kuzungumza kuhusu masuala ya urembo nchini na baadae kushiriki katika zoezi la upandaji miti Mjini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...