Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, akizungumza na Ujumbe
kutoka Jamhuri ya Czech, ukiongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Jamhuri ya Czech,
Ivan Jancarek(wa kwanza kushoto), wakati wa mazungumzo yaliyohusu kuimarisha uhusiano katika
masuala ya usalama kupitia mafunzo, teknolojia na mbinu za kukabiliana na uhalifu. Mazungumzo
yalifanyika ofisini kwa naibu waziri,jijini Dar es Salaam.
Mjumbe kutoka Jeshi la Polisi,Kamishna Albert Nyamhanga akijitambulisha kabla ya kuanza
mazungumzo kati ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Czech na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi, yaliyohusu kuimarisha uhusiano katika masuala ya usalama kupitia mafunzo, teknolojia na
mbinu za kukabiliana na uhalifu.Meza kuu ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Hamad
Masauni(kushoto) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Jamhuri ya Czech, Ivan
Jancarek.Mazungumzo yalifanyika jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, akipokea zawadi kutoka
kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Jamhuri ya Czech, Ivan Jancarek(kushoto), baada ya
kumaliza mazungumzo yaliyohusu kuimarisha uhusiano katika masuala ya usalama kupitia mafunzo,
teknolojia na mbinu za kukabiliana na uhalifu. Mazungumzo yalifanyika ofisini kwa naibu
waziri,jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Jamhuri ya Czech nchini Kenya, Pavel Rezac, akiagana na Naibu Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Hamad Masauni(kulia), baada ya kumaliza mazungumzo yaliyohusu kuimarisha
uhusiano katika masuala ya usalama kupitia mafunzo, teknolojia na mbinu za kukabiliana na
uhalifu.Katikati ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Jamhuri ya Czech, Ivan Jancarek
Mazungumzo yalifanyika ofisini kwa naibu waziri,jijini Dar es Salaam.(Picha na Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...