Naibu Katibu Mkuu wa Nishati na madini, Profesa James mdoe akizungumza na waandishi habari katika juu mkakati mpango wa gesi asilia leo jijini Dar es salaam.

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.
WIZARA ya Nishati na Madini iko katika hatua ya mwisho ya kutengeneza mpango mkakati wa matumizi ya gesi asilia.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara na Nishati na Madini, Profesa James  Mdoe amesema mpango huo ni kuangalia matumizi ya gesi asilia kwa ndani ya nchi na kuweza kuchochea uchumi wa viwanda.

Profesa Mdoe amesema kuwa mpango mkakati  utasaidia katika kutengeneza  katika kuangalia soko la gesi asilia nje ya nchi.

Amesema kuwa matumizi ya gesi asilia  kinatarajia  kujengwa kiwanda kikubwa  kinachotumia gesi hiyo. 

Nae Kaimu mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Kapuulya Naomba amesema  kuwa wataanza na kusambaza mabomba katika jiji la Dar es salaam kutokana matumizi ya mkaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...