Mgeni
rasmi Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Dar es Salaam, Flora Masue (kulia)
na Mkurugenzi wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC),
Theodosia Muholo (katikati), na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kivulini ya
jijini Mwanza, Yassin Ally (wa pili kushoto) wakiinua Vipeperushi baada
ya mgeni rasmi kuzindua Awamu ya Tatu ya Kampeni ya ‘Tunaweza’ wakati wa
hafla ya uzinduzi huo uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Biafra jijini
Dar es Salaam.
Mgeni
rasmi Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Dar es Salaam, Flora Masue (wa pili
kulia) na Mkurugenzi wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC),
Theodosia Muholo (wa tatu kulia), na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kivulini
ya jijini Mwanza, Yassin Ally (wa pili kushoto) Mkaguzi wa Polisi Prisca
Komba wa Dawati la Jinsia Polisi Kinondoni (kushoto) na Jackline Mlay
wa Kitengo cha haki za Jinsia Oxfam, kwa pamoja wakiinua vipeperushi
baada ya mgeni rasmi kuzindua Awamu ya Tatu ya Kampeni ya ‘Tunaweza’
iliyofanyika kwenye Viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam, leo.
Msanii
wa muziki wa kizazi kipya, Mwacity Almas, akiimba na kucheza pamoja na
baadhi ya kinamama waliohudhuria uzinduzi wa Awamu ya tatu ya Kampeni ya
‘Tunaweza’ ya Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC),
iliyozinduliwa leo kwenye Viwanja vya Biafra jijini Kinondoni, jijini
Dar es Salaam. Picha na Mafoto Blog
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...