Afisa habari wa Simba SC Haji Sunday Manara akikimbilia upande wanaokaa mashabiki wao kujaribu kutuliza jazba zilizopelekea kung'olewa kwa viti na kutupwa uwanjani baada ya Yanga kupata bao 
 Afisa habari wa Simba SC Haji Sunday Manara akijaribu bila mafanikio kutuliza jazba za mashabiki wa timu yake waliokuja juu baada ya Yanga kupata bao na wao kupinga kwa kuwa mfungaji alinawa.

 Mshabiki akipiga mateke viti vilivyorushwa uwanjani kwa jazba
Askari polisi akiangalia wakati mshabiki wa Simba SC akijaribu kumtuliza mwenzie mwenye jazba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Am not a soccer fan but this illustrates babarism. Respective Clubs need to be penalized and pay for all the repears.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...