SIMU.tv: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amuagiza katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu sera na bunge kufanya uchunguzi juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CDA Dodoma;https://youtu.be/pySiMPyl1I4
SIMU.tv: Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano aziagiza taasisi zilizochini ya wizara ya ujenzi kuanza mpango wa mkataba kazi kwa watumishi; https://youtu.be/AVjjXE1kESg
SIMU.tv: Mwanamume mmoja wilayani Songea amuua mke wake kwa Sululu kwasababu zinazotajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi; https://youtu.be/HCaAi5msQxI
SIMU.tv: Rais John Magufuli amesema serikali ya awamu ya tano inathamini mchango wa wafanyabiashara wazawa; https://youtu.be/zdpEgaVZ5No
SIMU.tv: Waziri wa elimu Prof. Ndalichako aagiza kufukuzwa chuo walimu waliohusika na kupiga mwananfunzi wa shule ya sekondari Mbeya. https://youtu.be/y2KpDuqNomo
SIMU.tv: Rais John Magufuli amteua Bolozi Ombeni Sefue kuwa mwenyekiti wa bodi wa chuo cha Diplomasia; https://youtu.be/KIbiDof9TqM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...