SIMU.tv: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amuagiza katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu sera na bunge kufanya uchunguzi juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CDA Dodoma;https://youtu.be/pySiMPyl1I4

SIMU.tv: Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano aziagiza taasisi zilizochini ya wizara ya ujenzi kuanza mpango wa mkataba kazi kwa watumishi; https://youtu.be/AVjjXE1kESg

SIMU.tv: Mwanamume mmoja wilayani Songea amuua mke wake kwa Sululu kwasababu zinazotajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi; https://youtu.be/HCaAi5msQxI

SIMU.tv: Rais John Magufuli amesema serikali ya awamu ya tano inathamini mchango wa wafanyabiashara wazawa; https://youtu.be/zdpEgaVZ5No

SIMU.tv: Waziri wa elimu Prof. Ndalichako aagiza kufukuzwa chuo walimu waliohusika na kupiga mwananfunzi wa shule ya sekondari Mbeya. https://youtu.be/y2KpDuqNomo

SIMU.tv: Rais John Magufuli amteua Bolozi Ombeni Sefue kuwa mwenyekiti wa bodi  wa chuo cha Diplomasia; https://youtu.be/KIbiDof9TqM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...