SIMU.tv: Mtazame bondia Thomas Mashali akizungumzia pambano lake la kimatifa litalofanyika mwezi Disemba mwaka huu mkoani Morogoro; https://youtu.be/zjnTtNx6LZ0
SIMU.tv: Spika wa Bunge Job Ndugai awashauri wakuu wa idara mbalimbali wa halmshauri ya wilaya ya Kongwa kutumia vizuri fedha za miradi ya maedeleo; https://youtu.be/QXTF8S4V8dM
SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Mwanza aunda kamati kuchunguza tuhuma ya kughushi takwimu za idadi ya wanafunzi katika shule za msingi; https://youtu.be/0u9BU49LkZ4
SIMU.tv: Serikali inatarajia kutangaza safu ya milima ya Mbeya kuwa sehemu muhimu ili kutunza mazingira na maji yanayopatikana;https://youtu.be/8rUKD5hXaMA
SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Kagera awataka wananchi mkoani humo kuacha tabia ya kuchoma moto misitu katika harakati za kutunza mazingira; https://youtu.be/wuGtgH41IvE
SIMU.tv: Wanawake wa kabila la kimasai mkoani Mbeya wapinga zeozi la utambuzi wa mifugo kwa kupiga chapa;https://youtu.be/lbH8Edjw9KE
SIMU.tv: Taasisi ya GSM yaelezea kusikitishwa na mwitikio wa wazazi wa mkoani Tabora wa kuwapeleka watoto wenye vichwa vikubwa kupatiwa matibabu; https://youtu.be/8zWm7l1wKpA
SIMU.tv: Makamu wa Rais Samiha Suluhu akutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Iran anayemaliza muda wake nchini;https://youtu.be/Tlq_ux8Yy1I
SIMU.tv: Baadhi ya wakulima wilayani karatu waiomba serikali kuwaboreshea miundombinu ya maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji;https://youtu.be/khOu5eI9giI
SIMU.tv: inaelezwa kuwa hosptali ya mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba wa dawa pamoja na vifaa tiba;https://youtu.be/Zz2KTi6QAOM
SIMU.tv: Rais wa Zanzibar , Dkt. Shein aipongeza wizara ya habari utalii , utamaduni na michezo kwa kutekeleza vyema majukumu yake;https://youtu.be/TqjhlDcb_Mg
SIMU.tv: Rais John Magufuli asema serikali yake ya awamu ya tano haitakuwa tayari kuona wanafunzi wa vyuo nchini wakisoma kwa shida; https://youtu.be/0PXoFgH0gME
SIMU.tv: Serikali yawataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi wote bila ubaguzi; https://youtu.be/LQhgmouIZEQ
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...