SIMU.tv: Mtazame bondia  Thomas Mashali akizungumzia pambano lake la kimatifa litalofanyika mwezi Disemba mwaka huu mkoani Morogoro; https://youtu.be/zjnTtNx6LZ0

SIMU.tv: Spika wa Bunge Job Ndugai awashauri wakuu wa idara mbalimbali wa halmshauri ya wilaya ya Kongwa kutumia vizuri fedha za miradi ya maedeleo; https://youtu.be/QXTF8S4V8dM

SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Mwanza aunda kamati kuchunguza tuhuma ya kughushi takwimu za idadi ya wanafunzi katika shule za msingi; https://youtu.be/0u9BU49LkZ4

SIMU.tv: Serikali inatarajia kutangaza safu ya milima ya Mbeya kuwa sehemu muhimu ili kutunza mazingira na maji yanayopatikana;https://youtu.be/8rUKD5hXaMA

SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Kagera awataka wananchi mkoani humo kuacha tabia ya kuchoma moto misitu katika harakati za kutunza mazingira; https://youtu.be/wuGtgH41IvE

SIMU.tv: Wanawake wa kabila la kimasai mkoani Mbeya wapinga zeozi la utambuzi wa mifugo kwa kupiga chapa;https://youtu.be/lbH8Edjw9KE

SIMU.tv: Taasisi ya GSM yaelezea kusikitishwa na mwitikio wa wazazi wa mkoani Tabora wa kuwapeleka watoto wenye vichwa vikubwa kupatiwa matibabu; https://youtu.be/8zWm7l1wKpA

SIMU.tv: Makamu wa Rais Samiha Suluhu akutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Iran anayemaliza muda wake nchini;https://youtu.be/Tlq_ux8Yy1I

SIMU.tv: Baadhi ya wakulima wilayani karatu waiomba serikali kuwaboreshea miundombinu ya maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji;https://youtu.be/khOu5eI9giI

SIMU.tv: inaelezwa kuwa hosptali ya mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba wa dawa pamoja na vifaa tiba;https://youtu.be/Zz2KTi6QAOM

SIMU.tv: Rais  wa Zanzibar , Dkt. Shein aipongeza wizara ya habari utalii , utamaduni na michezo kwa kutekeleza vyema majukumu yake;https://youtu.be/TqjhlDcb_Mg

SIMU.tv: Rais John Magufuli asema serikali yake ya awamu ya tano haitakuwa tayari kuona wanafunzi wa vyuo nchini wakisoma kwa shida; https://youtu.be/0PXoFgH0gME

SIMU.tv: Serikali yawataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi wote bila ubaguzi; https://youtu.be/LQhgmouIZEQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...