SIMU.tv: Tazama mazungumzo kuhusu  matokeo ya sensa ya uzalishaji viwanda ya mwaka 2013 kutoka kwa mtakwimu mwandamisi ofisi ya taifa ya takwimu;https://youtu.be/GoAm-aXR49A

SIMU.tv: Korea ya kusini yaahidi kuzisaidia nchi za Afrika kuwekeza katika sekta ya viwanda na kilimo katika kukuza uchumi wa nchi za Afrika;https://youtu.be/jfKbrmRYkpg

SIMU.tv: Rais msaatafu Benjamin Mkapa amesema dunia itaendelea kumkumbuka  waziri mkuu wa zamani wa Sweden Olf Palme kwa mchango wake wa ukombozi  wa nchi za Afrika; https://youtu.be/7cDRnR0zZdw

SIMU.tv: Wizara ya maliasili na utalii yaunda kikosi kazi kwa ajili ya kupambana na kutokomeza ujangili nchini; https://youtu.be/exBsq3xfzcw

SIMU.tv: Baadhi ya wanahabari wa mkoani Mbeya wakutana kujadili muswaada  wa sheria ya  huduma ya habari ya mwaka 2016; https://youtu.be/zbCaBZpCsSc

SIMU.tv: Wazazi mkoani Kagera wameshauriwa kuwapeleka haraka hospitali watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi; https://youtu.be/IaTb6Wrif3Q

SIMU.tv: Kiwanda cha Machinjio cha Arusha chatakiwa kuongeza thamani ya mazao yake; https://youtu.be/FahVW2VNbM4

SIMU.tv: Inaelezwa kuwa mto mbarali ulioko mkoani Mbeya uko hatarini kukauka kutokana na kukithiri kwa shughuli za binadamu katika mto huo;https://youtu.be/Yo_d6VqCrLI

SIMU.tv: Serikali yawataka watanzania kuendelea kutoa misaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera; https://youtu.be/PRzLHZIDjo0

SIMU.tv: Rais msaatafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi awasihi waumini wa dini ya kiislamu nchini kutumia misikiti kufanya ibaada; https://youtu.be/W0jhuKhCBz8

SIMU.tv: Serikali ya Tanzania na Morocco zakubaliana kushirikiana katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo; https://youtu.be/tZ-SOXfMKAU

SIMU.tv: Rais Shein aipongeza wizara ya Kilimo Maliasili , Mifugo na Uvuvi kwa juhudi zake inazofanya; https://youtu.be/FwNEQhYVF-Q

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...