SIMU.tv: Tazama mazungumzo kuhusu matokeo ya sensa ya uzalishaji viwanda ya mwaka 2013 kutoka kwa mtakwimu mwandamisi ofisi ya taifa ya takwimu;https://youtu.be/GoAm-aXR49A
SIMU.tv: Korea ya kusini yaahidi kuzisaidia nchi za Afrika kuwekeza katika sekta ya viwanda na kilimo katika kukuza uchumi wa nchi za Afrika;https://youtu.be/jfKbrmRYkpg
SIMU.tv: Rais msaatafu Benjamin Mkapa amesema dunia itaendelea kumkumbuka waziri mkuu wa zamani wa Sweden Olf Palme kwa mchango wake wa ukombozi wa nchi za Afrika; https://youtu.be/7cDRnR0zZdw
SIMU.tv: Wizara ya maliasili na utalii yaunda kikosi kazi kwa ajili ya kupambana na kutokomeza ujangili nchini; https://youtu.be/exBsq3xfzcw
SIMU.tv: Baadhi ya wanahabari wa mkoani Mbeya wakutana kujadili muswaada wa sheria ya huduma ya habari ya mwaka 2016; https://youtu.be/zbCaBZpCsSc
SIMU.tv: Wazazi mkoani Kagera wameshauriwa kuwapeleka haraka hospitali watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi; https://youtu.be/IaTb6Wrif3Q
SIMU.tv: Kiwanda cha Machinjio cha Arusha chatakiwa kuongeza thamani ya mazao yake; https://youtu.be/FahVW2VNbM4
SIMU.tv: Inaelezwa kuwa mto mbarali ulioko mkoani Mbeya uko hatarini kukauka kutokana na kukithiri kwa shughuli za binadamu katika mto huo;https://youtu.be/Yo_d6VqCrLI
SIMU.tv: Serikali yawataka watanzania kuendelea kutoa misaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera; https://youtu.be/PRzLHZIDjo0
SIMU.tv: Rais msaatafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi awasihi waumini wa dini ya kiislamu nchini kutumia misikiti kufanya ibaada; https://youtu.be/W0jhuKhCBz8
SIMU.tv: Serikali ya Tanzania na Morocco zakubaliana kushirikiana katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo; https://youtu.be/tZ-SOXfMKAU
SIMU.tv: Rais Shein aipongeza wizara ya Kilimo Maliasili , Mifugo na Uvuvi kwa juhudi zake inazofanya; https://youtu.be/FwNEQhYVF-Q
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...