Kwa niaba ya Wanajumuia ya Watanzania waishio Michigan Detroit, tunaomba kuwatangazia Watanzania wote wanaoishi Jimbo la Michigan na miji yote ya jirani kuwa kutakuwa na zoezi la kubadilisha pasipoti ambapo maafisa toka Ubalozi wa Tanzania Jijini Washington DC watakuwa hapa kutoa huduma hiyo.
Zoezi hili litafanyika:
SIKU: Ijumaa Oktoba 14-16, 2016
MAHALI:
Quality Inn Hotel
26111 telegraph rd
Southfield, MI 48033
Mahitaji ya Jumla kwa Kupata Pasipoti Mpya
MAHITAJI YA JUMLA:
1. Picha tano light blue colour background
2. Nakala ya Cheti cha kuzaliwa.
3.Nakala ya Drivers License.
5. Pasipoti halisi na nakala yake.
Kwa waliopoteza pasipoti wahakikishe pia wanakuwa na Police report.
Tangazo la Gazeti na Maelezo ya namna pasipoti ilivyopotea.
Kwa maelezo na mawasiliano zaidi wasiliana na
Ndg. Phi Mzava kwa namba 248-417-5015
Kwa maelezo zaidi. Kwa mahitaji ya pasipoti
tembeleeni tovuti ya Ubalozi wa Tanzania.
Wote Mnakaribishwa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...