Balozi
wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Mheshimiwa Hemed Mgaza kushoto,
akishuhudia Viongozi wa Madaktari Bingwa wa Jumuiya ya WAMY nchini hapa
wakisoma ramani ya Tanzania katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania mjini
Riyadh, ili kuifahamu vizuri Tanzania na maeneo watakayofikia katika
msafara wao wa kwenda Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kutoa huduma za
afya bure kwa siku 10 kwenye Hospitali za Chake Chake na Wete. Picha na
Mpiga Picha Wetu, Riyadh.
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Mhe. Hemedi Mgaza akiwa na viongozi wa Madaktari Bingwa wa Jumuiya ya WAMY ambao walifika Ubalozini mjini Riyadh kujitambulisha na kukamilisha taratibu za safari kuingia Tanzania. Madaktari hao wanatarajiwa kuwasili nchini Tanzania Novemba 11.
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Mhe. Hemedi Mgaza akiwa na viongozi wa Madaktari Bingwa wa Jumuiya ya WAMY ambao walifika Ubalozini mjini Riyadh kujitambulisha na kukamilisha taratibu za safari kuingia Tanzania. Madaktari hao wanatarajiwa kuwasili nchini Tanzania Novemba 11.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...