Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kushoto) akiwa na Msimamizi wake, Joe Anena muda mfupi kabla ya kukwea pipa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Kuelekea mjini Huxleys, Kreuzberg, Berlin, Ujerumani, kunako mpambano wa marudio kati yake na Bondia Zapir Rasulov, baada ya lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City, Panama na kurudi na ubingwa.
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' (katikati) akiwa na Bondia Ibrahimu Class (kulia) na Joe Anena katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kabla ya safari yao kuelekea Berlin kunako mpambano wa marudio kati yake na Bondia Zapir Rasulov, baada ya lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City, Panama na kurudi na ubingwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...