Mtaribu wa tamasha la 'Kale ni
Dhahabu' ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina Kaphipa
akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na tamasha la
utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania. Pamoja nae ni Afisa Masoko, Anael Masasi
Mtaribu
wa tamasha la 'Kale ni
Dhahabu' ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina Kaphipa
akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na
tamasha la
utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania. Pamoja nae
ni Afisa Masoko, Anael Masasi (kushoto) na Msemaji wa Tamasha hilo,
Juma Mwajacho (kulia) pamoja na Mke wa Chief.
Logo ya tamasha
Tafadhali naomba mawasiliano ya hawa waandaaji wa Tamasha.
ReplyDelete