Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (katikati) akitoa maelekezo kwa watendaji  wa kampuni ya Fichtner  ya Ujerumani na Shirika la  Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kufanya ziara katika  Kituo Kipya cha Kupooza Umeme cha Kurasini kinachojengwa kupitia Mradi wa TEDAP ili kujionea maendeleo ya ujenzi wake jijini  Dar es Salaam.
 Mtaalam kutoka Kampuni ya Fichtner ya   Ujerumani, Matthias Albers (kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (kushoto) kuhusu maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho. Katikati ni Meneja Mwandamizi (Miradi) kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gregory Chegere.
 Mafundi wakiendelea na ujenzi katika Kituo Kipya cha Kupooza Umeme cha Kurasini, kinachojengwa chini ya Mradi wa TEDAP.
 Meneja Mwandamizi (Miradi) kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gregory Chegere (kulia) akitoa maelezo  kwenye kituo cha kuendesha mitambo (control  room) katika Kituo Kipya cha Kupooza Umeme cha Kurasini jijini Dar es Salaam.
 Meneja Mwandamizi (Miradi) kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gregory Chegere (katikati) akisisitiza jambo katika sehemu ya kupokelea laini za umeme.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...