Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Naibu waziri wa Ardhi Dkt .Angeline Mabula akigawa Chaki zinazotengenezwa na kiwanda cha vijana- Maswa Chalk kilichopo Mkoani Simiyu,Dkt.Mabula yupo ziara jimboni kwake akihamasisha masuala ya kielimu kwa kugawa vitabu na Katoni za Chaki kwenye shule zake za msingi na sekondari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...