Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Jaji
Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu,(wa pili kushoto) Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji
Ussi (wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Rais,Katiba,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya kulifungua
jengo la Mahkama kuu ya Chake chake Pemba leo akiwa katika ziara ya siku
tano kisiwani humo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Jaji
Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu,(wa pili kushoto) Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji
Ussi (wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Rais,Katiba,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya kulifungua
jengo la Mahkama kuu ya Chake chake Pemba leo akiwa katika ziara ya siku
tano kisiwani humo,
Baadhi ya wananchi kutoka shehia
mbali mbali katika Wilaya ya Chake chake Pemba wakiwa katika sherehe za
Ufunguzi wa Jengo la Mahakama kuu ya Chake chake lililofunguliwa leo na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein, akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...