Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dr Rehema Nchimbi  akiwa kwenye chumba cha wazazi akiwapatia akina mama waliojifungua watoto zawadi mbali mbali.

Wanafamilia tunapenda kuungana na watanzania wote kumtakia heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa mama yetu mpendwa Dr Rehema Nchimbi, Mungu azidi kumlinda na kumtunza ili aendelee kutumika kwa faida ya Taifa letu.
 Pichani ndie mama mzazi wa mh  Dr Rehema Rehema Nchimbi Bibi Mwl Selina Daudi. Pongezi kwake kwa kutuletea kiongozi wa wote.
Mama DR Rehema Nchimbi akifurahia jambo na watoto wake.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...