Mkuu
wa Mkoa wa Njombe Mh. Dr Rehema Nchimbi
akiwa kwenye chumba cha wazazi akiwapatia akina mama waliojifungua
watoto zawadi mbali mbali.
Wanafamilia tunapenda kuungana na watanzania wote kumtakia heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa mama yetu mpendwa Dr Rehema Nchimbi, Mungu azidi kumlinda na kumtunza ili aendelee kutumika kwa faida ya Taifa letu.
Pichani ndie mama mzazi wa mh Dr Rehema Rehema Nchimbi Bibi Mwl Selina
Daudi. Pongezi kwake kwa kutuletea kiongozi wa wote.
Mama DR Rehema Nchimbi akifurahia jambo na
watoto wake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...