Her Initiative kwa kushirikiana na DUMA wanakuletea PANDA (Tamasha la ujasiriamali, uvumbuzi na ajira kwa wasichana wa vyuo) litakalofanyika tarehe 26th november 2016 chuo kikuu cha dar_es _salaam katika ukumbi wa Yombo 4.Come and experience a great workshop,music and a comedy session. Nafasi za meza za maonesho bado zipo wasiliana nasi kupitia 0719458971.Follow us, like and share because "We are going all the way up" @her_initiative @her_initiative cc @lyencharles @iryn_e #PANDA #Goallthewayup #Jiwezeshe #jihamasishe #herinitiative
Home
TAARIFA
Her Initiative kuwakutanisha wasichana katika Tamasha la ujasiriamali, uvumbuzi na ajira
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...