Sisi tunaamini kabisa kwamba:
TANZANIA IS MORE THAN A WILDLIFE SAFARI COUNTRY. 
Sisi tunataka Dar es salaam isiwe tu Transit ama njia panda ya kuelekea maeneo mengine. Tunataka watalii wabaki hapa DAR watudondoshee vidola vyao na sisi tuvipate hapa. Visiishie  kwenye mbugani  tu. Hivyo basi tumeanzisha libeneke linalojulikana kama katika jiji la Dar  au kwa Kimombo  "IN DAR ES SALAAM". Mambo yote tisa, kumi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...