Mheshimiwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Crown Prince wa Abudhabi na Naibu Kamanda Mkuu wa Majeshi ya UAE Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan katika makazi yake jijini Abu Dhabi
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na Mjumbe Maalum wa AU kwa Libya katika mazungumzo na Crown Prince wa Abudhabi Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan.Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi H.H.Reem Al Hashimy
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...