Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Walemavu, Anthony Peter Mavunde akiwa pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Ubungo
Plaza jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 20
yaliyotolewa na Mtandao wa Wapenda soka wa Kandanda kwa shule hiyo.
Hafla hiyo imefanyika Novemba 26, 2016 jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akifurahi jambo na wanfunzi hao mara baada ya kukabidhi madawati.
Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Walemavu, Anthony Peter Mavunde akizungumza kabla ya kukabidhi madawati
20 yaliyotolewa na Vijana wa Mtandao wa Kandanda.
Mwalimu
mkuu wa shule ya Msingi Ubungo Plaza,Renatus Pathi akizungumza wakati
wa hafla ya kupokea madawati iliyofanyika shuleni hapo .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...