Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akiwa pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 20 yaliyotolewa na Mtandao wa Wapenda soka wa Kandanda kwa shule hiyo. Hafla hiyo imefanyika Novemba 26, 2016 jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akifurahi jambo na wanfunzi hao mara baada ya kukabidhi madawati.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akizungumza kabla ya kukabidhi madawati 20 yaliyotolewa na Vijana wa Mtandao wa Kandanda.
Mwalimu mkuu wa shule ya Msingi Ubungo Plaza,Renatus Pathi akizungumza wakati wa hafla ya kupokea madawati iliyofanyika shuleni hapo .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...