Ni miaka minne toka tumpoteze baba yetu mpendwa Mhe. Jackson Mvangilwa Makwetta, Leo tunakukumbuka ukiwa Baba kwa kutufundisha mengi yaliyo Mema Duniani.
Pia ulikuwa ni kiongozi wa muda mrefu katika nchi yetu na ulie
pendwa na wengi kutokana na Uwazi, Ukweli,Uwajibikaji, hekima juhudi katika kazi ukiwa katika wizara tofauti ulizohudumu ikiwamo Elimu, kilimo,Nishati na Madini,Mawasiliano,Ulinzi na Utumishi.
Watoto wako na watanzania bado tunadhamini mchango wako na tutakukumbuka daima.
Upumzike kwa Amani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...