Familia ya Marehemu  Joseph  Mungai ikiwa  imeshikana mkono ishara ya  upendo wakati wa mazishi ya baba yao mjini Mafinga  wilaya ya Mufindi mkoa wa Iringa.
Waziri  mkuu mstaafu Mhe. Frederick Sumaye  akitoa  salama zake kwa  niaba ya mwenyekiti wa Taifa wa  Chadema katika mazishi ya Mzee Joseph Mungai huko Mafinga  wilaya ya Mufindi mkoa wa Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo  ya makazi Mhe. Wiliam Lukuvi akiteta jambo na mbunge wa  Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu wakati wa mazishi ya marehemu Mungai.

Mbunge wa Mikumi Mhe. Joseph Haule akitoa heshima zake za mwisho.
Kwa taarifa zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...