Waziri wa Maliasali na Utalii, Profesa Jumanne Magembe (kulia) katika Picha ya pamoja na Baadhi ya wana utamaduni wa sanaa ya maonyesho kutoka Mkoa wa Iringa siku ya Uzinduzi wa maonyesho hayo yafanyikayo katika Viwanja vya kichangani Mjini Iringa kwa nyanda za juu kusini na kuhitimishwa leo Viwanjani hapo Mjini Iringa.
Waziri Magembe kulia akifurahia Jambo pindi alipo kuwa akitembelea katika baadhi ya mabanda ya Wadau wa Utalii walio jitokeza katika Viwanja hivyo Mjini Iringa.
Waziri Magembe akipokea moja ya Zawadi kutoka kwenye kampuni ya Ivori Ya Mjini Iringa inayo fanya vyema katika kuzalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo Pipi za Ivori.
Picha Zote na Mr.Pengo wa MMG Nyanda za juu Kusini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...